Sunday, February 10, 2013

JK awasili Dodoma leo kwa vikao vya CCM


 Vijana wa CCM wakimvika skafu Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete muda mfupi baada ya kuwasili mjini Dodoma kongoza kukao cha Halmashauri kuu ya CCM taifa.
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu  Abdulrahman Kinana muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini Dodoma ambapo ataongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM taifa.

No comments:

Post a Comment