Vijana
wa CCM wakimvika skafu Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete
muda mfupi baada ya kuwasili mjini Dodoma kongoza kukao cha Halmashauri
kuu ya CCM taifa.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman
Kinana muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini
Dodoma ambapo ataongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM taifa.
No comments:
Post a Comment