MEYA WA DAR MASSABURI AFURAHISHWA NA DAR METRO GAZETI JIPYA LA MATANGAZO
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akikabidhiwa
gazeti jipya la Dar Metro na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo
Concepts Tanzania Limited inayochapisha gazeti hilo, Juma Pinto (kulia),
ofisini kwake Karimjee, Dar es Salaam leo. Gazeti hilo maalumu kwa
matangazo linalotolewa mara mbili kwa mwezi, hugawiwa bure kwa wasomaji.
(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Massaburi (kushoto) akisoma gazeti
jipya la Dar Metro alilopelekewa...
IKULU YAZAWADIA WAFANYAKAZI WAKE BORA, YAPOKEA MAKOMBE YA SHIMIWI NA KUPONGEZA WANAMICHEZO WAKE LEO
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLtquq2ciONG5Rv3SZolF601YVdApa5CBqcFE3zmHavS3vQa-wutFdyahenPWydYYxi2kJ_hQ1vdZBL5iIwWuCh1VMijkOLDG1Wk_aHAVi9jNi1BU8qF7qOaQDLJthnzedQdfRqkvS7oon/s640/ik8.jpg)
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimpa zawadi Bw. Miraji Ahmed Saleh
kwa kuibua mfanyakazi bora na pia mfanyakazi hodari wa Ofisi ya Rais
Ikulu. Bw Saleh ni Msaidizi wa Ofisi Mwandamizi katika Idara ya Huduma
za Ikulu na Zahanati katika hafla ya kuwazawadia iliyofanyika leo
Desemba 17, 2012 Ikulu jijini Dar es salaam.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akipozi na kikosi kizima cha michezo
mbalimbali cha Ikulu Sports Club ambacho...
IKONDOLELO KIOTA RASMI CHA MISS UTALII 2012
Hoteli ya kitalii Ikondolelo
Lodge iliyoko Kibamba Jijini Dar es salaam , Imeteuliwa na Bodi ya mashindano
ya Miss Utalii Tanzania kuwa Hotel Rasmi ya mashindano hayo Mwaka huu 2012.
Mchakato wa uteuzi ulihusisha
Hotel zaidi ya saba zilizo jitokeza kudhamini fainali za taifa za Miss Utalii
Tanzania 2012.
Kwa Ikondolelo kuwa hotel
Rasmi Miss utalii Tanzania itatumia zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni mia
moja , ikiwa ni udhamini wa gharama za kambi ya Warembo na waandaaji zaidi ya...
BWANA HARUSI ANUSURIKA KIFO SIKU MOJA KABLA YA NDOA YAKE
Bwana
harusi Emmanuel Mwangosi akiwa na mkewe Magreth Mtebe mara tu baada ya
kufunga pingu za maisha jana katika kanisa la Agape jakaranda jijini
mbeya. Bwana harusi anaonekana na majeraha baada ya kunusurika kifo
katika ajali ya pikipiki na gari usiku wa kuamkia Jumapili ambayo
alifunga ndoa.
Hii
ndiyo ajali aliyopata bwana harusi emmanueli aligongwa na gari aina ya
Toyota GX 100 Emmanuel yeye alikuwa anaendesha pikipiki usiku wa
kuamkia jumamosi mida ya saa sita nanusu...
WANAWAKE WAKIRI KUFANYA NGONO KINYUME NA MAUMBILE: UTAFITI
![](http://4.bp.blogspot.com/-V_R_2gAHfU0/UM8M3S9kAOI/AAAAAAAAhDg/y174AeqmsyA/s1600/1.jpg)
Mtafiti
Mwanasayansi Irine Mremi, kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya
Binaadamu nchini Tanzania (NIMR) ambaye aliwasilisha ripoti hiyo kwa niaba ya
watafiti wenzake wa NIMR.
***
BAADHI ya wanawake kutoka katika
Wilaya za Kinondoni, Tanga, Makete na Siha, wamekiri kufanya
ngono kinyume na maumbile.
Hayo
yalielezwa
na Mtafiti Mwanasayansi Irine Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya
Utafiti wa Magonjwa ya Binaadamu nchini Tanzania (NIMR) wakati
akiwasilisha
utafiti uliofanywa...
IFC, ALDWYCH INTERNATIONAL, AND SIX TELECOMS TO DEVELOP 100 MW WIND FARM IN TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-syF6uJLG-04/UM77wypUqAI/AAAAAAAAhCc/V8xPJjZmsmo/s640/sham1.jpg)
The president of the United Republic of Tanzania Dr Jakaya Mrisho
Kikwete congratulates the Wind East Africa team on the progress made
with the Singida 100MW Wind Project after receiving an update on
November 4th 2011 at the Singida State House. Left to Right. Said
Abdallah (Project Director), Simon Magesa [Project Coordinator-Singida]
Rashid Shamte (Founder -Project Director), Mark Gammons (Project
Director), Jayce Kaiser (Project coordinator) (Photo:/ State House)
***********
IFC,...
NMB FAMILY DAY YAWAKUTANISHA WAFANYAKAZI NA FAMILIA ZAO
Wafanyakazi wa NMB pamoja na familia zao wakicheza mziki katika siki ya
Familia.
Familia ya NMB ikiwa inaingia Kwenye ukumbi wa South Beach Hotel
Kigamboni jana tayari kwa kusherehekea Siku ya Familia ya NMB
Watoto wa Wafanyakazi wa NMB kutoka Matawi mbalimbali jijini Dar Wakiwa
katika michezo mbalimbali ndani ya hotel ya Southe Beach Kigamboni
katika Siku ya familia ya NMB
Baadhi ya wafanyakazi wa NMB wakiwa na Familia zao katika siku ya
familia ya NMB iliyofanyika...
No comments:
Post a Comment