Sunday, February 10, 2013

GRUNDFOS YAITANGAZA KAMPUNI YA TRANSAFRICA WATER KUWA WASAMBAZAJI WAKUU WA BIDHAA ZAO TANZANIA


Meneja Mkuu wa Kampuni ya Grundfus Afrika, Hamp Adams (kushoto) akikata utepe kuashilia uzinduzi wa kuitangaza kampuni Trans Afrika Water kuwa wasambazaji wakuu wa bidhaa zao za pampu za maji na usimamizi wa maji taka nchini Tanzania.Kulia ni Mkurugenzi wa Trans Africa Water,Tony Mwangi.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Grundfus Afrika,Hamp Adams (kulia) akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati hafla ya kutangaza kampuni Trans Afrika Water kuwa wasambazaji wakuu wa bidhaa zao za pampu za maji na usimamizi wa maji taka nchini Tanzania.Kushoto ni Mkurugenzi wa Trans Africa Water,Tony Mwangi.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Grundfus Afrika, Hamp Adams (kulia) na Mkurugenzi wa Trans Africa Water,Tony Mwangi wakiteta jambo mara baada ya kuitangaza Kampuni ya Trans Afrika Water kuwa wasambazaji wakuu wa bidhaa zao za pampu za maji na usimamizi wa maji taka nchini Tanzania .
Mkurugenzi wa Trans Africa Water,Tony Mwangi (kushoto) akimkabidhi zawadi Meneja Mkuu wa Kampuni ya Grundfus Afrika, Hamp Adams wakati hafla ya kutangaza kampuni Trans Afrika Water kuwa wasambazaji wakuu wa bidhaa zao za pampu za maji na usimamizi wa maji taka nchini Tanzania.

MSAMA ATANGAZA UZINDUZI WA TAMASHA LA PASAKA 2013

 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, mwishoni mwa wiki wakati akitangaza uzinduzi wa tamasha hilo la Pasaka kwa mwaka huu wa 20 13 litakaloanza kufanyika hapa nchini hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment