Saturday, November 17, 2012

TEMEKE PAMOJA CLASSIC WEAR YAKUTANISHA WATOTO WA TEMEKE

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 1 day ago
Waendeshaji wa blog ya TemekePamoja (KC mwenye flana ya kijani na Ramaraldo flana nyeusi uwanja wa ndege wa Mwalimu nyerere D`Salaam) Huyu ni rafiki yangu toka kitambo sana kabla yeye ajawa KC Mwenye Kijani na mimi sijawa Raldo .Kwapamoja tumekaa chini na kujipanga katika mikakati ya life ya bongo na nje ya bongo na kwa upande wa bongo tumeanza na duka la nguo kuangalia upepo unaendaje.Watu wetu tegemeeni vitu vingi vitakuja ndani ya temekepamoja si tu biashara ya nguo kuna biashara nyingi zitakazoletwa na temekepamoja.Kwanini tumeamua kuwa temekepamoja na si Darstockhom?Tumefi... more »

HUYU NDO MTOTO WA MIAKA MITATU ULIYEKUWA UKIMSIKIA KWENYE HEKAHEKA TOKEA JUZI NDO HUYU HAPA KATIKA PICHA JINSI ALIVYO FANYIWA UKATILI WA AJABU NA MAMA YAKE MDOGO

DINA MARIOS at DINA MARIOS (DM) - 1 day ago
 *Mtoto ANETH anavyoonekana jinsi alivyounguzwa na mama yake mdogo*  *HIVI NDIVYO ALIVYOUNGUZWA MTOTO ANETH NA MAMA YAKE MDOGO*****  *HUYU NDIYO MAMA MDOGO WA ANETH AMEJULIKANA KWA JINA LA BAHATI LUKANGARA NDIYO ALIYEMUUNGUZA MTOTO ANETH*  *HAPA MAJIRANI WAKIJARIBU KUMUULIZA SABABU ZA KUMUUNGUZA HUYO MALAIKA WA MUNGU NINI SABABU YAKE MPAKA AKACHUKUA HATUA YA KUMUUNGUZA LAKINI KWA KIBURI CHA HUYO MAMA ALIKAA KIMYA KABISA BILA YA KUJIBU CHOCHOTE***  *MWENYEKITI WA MTAA HUO HABIBA MWAKITALU AMEMBEBA MTOTO ANETH TAYARI KWA KUMPELEKA HOSPITALI HUKU NYUMA AKIFUATIWA NA MWESHIMIW... more »

Chereko- Baba kapata Mama!

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 4 days ago
Baada ya shughuli ya mahari kwenye shughuli ya Macarios ilibidi ndugu waserebuke pichani kutoka kushoto dada Mwenda na Dada Appia wakicheza kwa furaha

Pete ya uchumba

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 4 days ago
Bw. Macarios Banzi akimvisha pete ya uchumba Bi Martina Jeremias katika hafla fupi na ya kufana iliyofanyika nyumbani kwa Bi Martina - Gongo la Mboto mwisho wa lami tarehe 11/11/2012.HONGERA SANA DOGO!

KERO YA KARIAKOO MCHANA

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 5 days ago
Nipo Kariako mda huu jua ni kali msongamano wa magari, na hayatembei hatari tupu barabara zote zimefunga Hali kama hivi Na kila mtu ana haraka njia hazipitiki Maeneo ya kituo cha polisi cha kamata kuefunga Foleni inaendelea Hapa ndio niliposimamia wadau unabidi ujipange kwa sasa hivi ukiwa unakuja mitaa ya kariakoo mchana.

SOKO KUU LA TEMEKE LEO

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 5 days ago
Nazi kama zinavyoonekana bei ya leo kuanzia 250. Usafi katika soko ukiendelea Ila wanatimua sana vumbi inatakiwa muwe mnafagia usiku Hapa ilibidi nisimame kidogo nipate kitu cha samaki wakavu ili mchana uwe mzuri Matikiti Maji 400 na kuendelea Matunda kibao pensheni kilo 500 Nanasi bei poa kuanzia 300 huu upande wa matunda

MATAYARISHO YA FILAMU YA TEARS ON MY BIRTHDAY-MBEYU MAXWELL

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 6 days ago
Muhusika mkuu wa filamu anaitwa Bonita akiwa na Director ambaye ni mjerumani jina lake ni Andrea Lauterbach Picha ya pili ni sehemu ya mchezo huo, ambapo muhusika mkuu Bonita au jina la filamu Aminata akiwa na mpenzi wake Benjamin Hoesch (jina la filamu Robert) Moja ya filamu ambayo tayari imeshaisha ya Mbeyu Maxwell Mbeyu Maxwell mwenye flana ya njano ambaye anasimamia mzigo wote wa filamu hizo.

HEPI BETHDEI MH. TEMBA

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 6 days ago
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa TMK Aman James Temba blog ya Temekepamoja inakutakia maisha mema na marefu

Mh. John Malecela 1977

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Wakati huo Mzee John Malecela alikwa Waziri wa Kilimo. Na hapa anapokea cheki ya shilingi 1,000/= kutoka kwa Mkuu Gereza la Lilungu Mkoani Mtwara ikiwa kama mchango wa gereza kwa CCM!(Picha kwa hizani ya Gazeti la DailNews 8/11/2012)

Nani atamsaidia huyu?

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Anataka kufikisha kwa mlaji lakini pia anakwepa gharama kubwa ya usafirishaji kwa kutumia vyombo vya moto ndiyo maana anasafirsha kwa kutumia baiskeli. Angalia jinsi tenga moja la nyanya linavyotaka kudondoka! Wahandisi mko wapi kumsaidia huyu jamaa? (Picha kwa hisani ya gazeti la Dailynews)

Watafiti wa Kilimo hakuna kulala

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Watafiti wa sekta ya kilimo kwa kupitia programu na miradi mbalimbali wanajitahidi kuhakikisha kuwa nchi inazalisha chakula kingi na chenye ubora wa hali ya juu na pia kuwaongezea kipato wakulima na kuboresha maisha yao.Mradi wa SIMLESA unaotekelezwa katika wilaya za Mbulu, Karatu, Mvomero, Kilosa na Gairo ni moja kati ya miradi inayolenga huko. Pichani Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo Bi. Ruth Kamala akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo.Picha na Livingstone Mwedipando wa ARI-Selian, Arusha)

Arusha wanavyotunza mazingira

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Hii ni moja ya barabara za jiji la Arusha inayokwenda kwenye kitongoji kijulikanacho kwa jina la Moshono. Wito wa kupanda miti katika mlima huu umeitikiwa kwa nguvu zote na miti hiyo hutunzwa kwa sheria ndogondogo walizojiwekea wananchi wenyewe.

HOSPITAL YA TEMEKE NA WATU WALIOGANDANA

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 1 week ago
Watu waliokuwepo hospital ya Temeke wakitaka kuwaona watu waliogandiana baada ya kusadikiwa walivunja amri ya sita. ilikuwa kila baada ya dakika moja watu wanaongezeka Hali ilivyokuwa katika barabara ya Temeke Hospital ikalazimika polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waliokuwepo hapo Watu wakiwa katika barabara wakitaka kujua kinachoendelea Ukuta umezingirwa Barabara imefungwa mpaka naondoka eneo la tukio ukweli hasa haujajulikana sababu kila unayemuuliza anaeleza anvyojua yeye kuhusu hilo suala la kugandiana kwa watu hao wawili

Mazishi ya Twaha Kivumbi-Temeke

Temeke Pamoja at KARIBU TEMEKE - 1 week ago
Twaha Jokolo akinena jambo wakati wa msiba huo wa rafiki yake Twaha Kivumbi aliokuwepo maeneo ya changombe Temeke Kicheko, Jax na Nyerere wakiwa katika msiba huo Simon Butte (Mjo) likuwepo kumsindikiza rafiki yake Banyai (Dubwi ) aliesimama Salvatory Edward mwenyeshati la drafti akiwa na David Beatus, Peter Nkwera na shaffih Magongo Maiti ikisaliwa Baadhi ya ndugu, jamaa na rafiki waliohudhuria katika mazishi ya ndugu yao Twaha Kivumbi Kenny Mwaisabula akiwa na baadhi ya viongozi wa Bandari katika msiba huo

TRA yakusanya shilingi 754 bilioni

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Mwezi Septemba mwaka huu Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) imevunja rekodi ya kukusanya kodi hadi kufikia shilingi 754 bilioni. Wanaongoza kwa kulipa kodi ni National Microfinance Bank (NMB) wakifuatiwa na Tanzania Breweries Limited (TBL) na Tanzania Cigarette Company Limited (TCC) Pichani mmoja wa wafanyakazi wa NMB Business Centre (Picha kwa hisani ya DailyNews 8/11/2012)

Obama umeliletea heshima Bara la Afrika

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Kwa kuchaguliwa tena kwa mara ya pili kuwa Rais wa Marekani, Barack Obama ameliletea heshima Bara la Afrika. HONGERA! Pichani Rais Barack Obama akiwa na familia yake kutoka kushoto mkewe Michelle, Sasha na Malia (Bintize)- Picha kwa hisani ya gazeti la Daily News

'Jiko' kutoka Chamazi

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Jumapili ya tarehe 4/11/2012 Bw. Salehe Pembe (Shemeji) alinunua jiko jipya kutoka Chamazi.

Lengo ni moja

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Iwe ni ndoa ya Kikristu au ya Kiislamu lengo ni moja ni kufunga ndoa. Tunatofautiana katika taratibu.

Africana wakutana Kitunda

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Mwezi Oktoba 2012- Kikundi cha Africana kilikutana huko Kitunda Jijini Dar nyumbani kwa Gloria. Kikao kilifanyika kwa mafanikio makubwa. Wanachama wameazimia kukamilisha michango yao ya kila mwezi kabla ya mwisho wa mwezi wa Novemba, kutoa fedha za T-shirt za Africana pamoja na kununua hisa za mradi wa SH2

Kanisa limefurika

Innocent John Banzi at Banzi wa Moro - 1 week ago
Siku ya ibada ya ndoa takatifu ya Bw na Bibi Moshi kanisa la Mt. Visent wa Paulo lilifurika watu waliokuja kushuhudia ndoa hii. Bw. Moshi alishawahi kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei Parokia ya Vikindu.

No comments:

Post a Comment